7 Miguu yao hukimbilia kutenda maovu,
Nao wanafanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia.+
Mawazo yao ni mawazo yanayodhuru;
Njia zao zina uharibifu na maumivu.+
8 Hawajaijua njia ya amani,
Na hakuna haki katika vijia vyao.+
Wanazipotosha barabara zao;
Hakuna yeyote anayetembea humo atakayejua amani.+