Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 15:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Mungu anayetoa uvumilivu na faraja na awawezeshe ninyi miongoni mwenu wenyewe kuwa na mtazamo uleule wa akili ambao Kristo Yesu alikuwa nao, 6 ili kwa umoja+ na kwa sauti moja* mumtukuze Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo.

  • 2 Wakorintho 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kushangilia, kurekebishwa upya, kufarijiwa,+ kufikiri kwa upatano,+ kuishi kwa amani;+ na Mungu wa upendo na amani+ atakuwa pamoja nanyi.

  • Waefeso 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa hiyo, mimi mfungwa+ katika Bwana, ninawasihi mtembee kwa kustahili+ mwito mliopokea,

  • Waefeso 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 mkijitahidi sana kudumisha roho ya umoja katika kifungo cha muungano cha amani.+

  • Wafilipi 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 fanyeni shangwe yangu ijae kwa kuwa na akili ileile na kuwa na upendo uleule, mkiwa mmeunganishwa kabisa,* mkiwa na wazo moja akilini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki