1 Wakorintho 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 huku Mungu akiwahukumu wale walio nje?+ “Mwondoeni mtu mwovu miongoni mwenu.”+ 2 Yohana 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mtu yeyote akija kwenu naye haleti fundisho hili, msimpokee nyumbani mwenu+ wala kumsalimu.