Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 12:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana kama vile tulivyo na viungo vingi katika mwili mmoja,+ lakini viungo hivyo havifanyi kazi ileile, 5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja katika muungano na Kristo, lakini kila mmoja wetu ni kiungo cha mwingine.+

  • 1 Wakorintho 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini sasa Mungu amepanga kila kiungo cha mwili kama alivyopenda.

  • 1 Wakorintho 12:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi ninyi ni mwili wa Kristo,+ na kila mmoja wenu ni kiungo cha mwili huo.+

  • Waefeso 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini tukisema ukweli, kupitia upendo na tuendelee kukua katika mambo yote ndani ya Kristo, ambaye ni kichwa.+

  • Waefeso 5:29, 30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 kwa maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake, bali huulisha na kuutunza, kama vile Kristo anavyolitendea kutaniko, 30 kwa kuwa sisi ni viungo vya mwili wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki