Waroma 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja katika muungano na Kristo, lakini kila mmoja wetu ni kiungo cha mwingine.+ Waefeso 1:22, 23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Alivitiisha pia vitu vyote chini ya miguu yake+ na kumfanya kuwa kichwa juu ya vitu vyote kuhusiana na kutaniko,+ 23 ambalo ni mwili wake,+ ujazo wake anayejaza vitu vyote katika vyote.
5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja katika muungano na Kristo, lakini kila mmoja wetu ni kiungo cha mwingine.+
22 Alivitiisha pia vitu vyote chini ya miguu yake+ na kumfanya kuwa kichwa juu ya vitu vyote kuhusiana na kutaniko,+ 23 ambalo ni mwili wake,+ ujazo wake anayejaza vitu vyote katika vyote.