26 Walipokuwa wakiendelea kula, Yesu akachukua mkate, na baada ya kutoa baraka, akaumega,+ akawapa wanafunzi wake, akasema: “Chukueni mle. Huu unamaanisha mwili wangu.”+
4 Basi, ndugu zangu, ninyi pia mlifanywa wafu kuhusiana na Sheria kupitia mwili wa Kristo, ili muwe wa mwingine,+ yule aliyefufuliwa kutoka kwa wafu,+ ili tumzalie Mungu matunda.+