Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Walipokuwa wakiendelea kula, Yesu akachukua mkate, na baada ya kutoa baraka, akaumega,+ akawapa wanafunzi wake, akasema: “Chukueni mle. Huu unamaanisha mwili wangu.”+

  • Marko 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Walipokuwa wakiendelea kula, akachukua mkate, akatoa baraka, akaumega, akawapa, na kusema: “Chukueni; huu unamaanisha mwili wangu.”+

  • Waroma 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi, ndugu zangu, ninyi pia mlifanywa wafu kuhusiana na Sheria kupitia mwili wa Kristo, ili muwe wa mwingine,+ yule aliyefufuliwa kutoka kwa wafu,+ ili tumzalie Mungu matunda.+

  • 1 Wakorintho 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa sababu kuna mkate mmoja, sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja,+ kwa maana sote tunakula mkate huo mmoja.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki