Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Walipokuwa wakiendelea kula, akachukua mkate, akatoa baraka, akaumega, akawapa, na kusema: “Chukueni; huu unamaanisha mwili wangu.”+

  • Luka 22:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Pia, akachukua mkate,+ akashukuru na kuumega, akawapa akisema: “Huu unamaanisha mwili wangu,+ ambao utatolewa kwa ajili yenu.+ Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka.”+

  • 1 Wakorintho 11:23-26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana nilipokea kutoka kwa Bwana kile nilichowapa ninyi pia, kwamba Bwana Yesu katika usiku+ ambao alisalitiwa alichukua mkate, 24 na baada ya kutoa shukrani, akaumega na kusema: “Huu unamaanisha mwili wangu,+ ambao ni kwa ajili yenu. Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka.”+ 25 Akafanya vivyo hivyo na kile kikombe+ pia, baada ya wao kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano+ jipya kwa msingi wa damu yangu.+ Endeleeni kufanya hivi, kila mara mnapokinywa, kwa kunikumbuka mimi.”+ 26 Kwa maana kila mara mnapokula mkate huu na kunywa kikombe hiki, mnaendelea kukitangaza kifo cha Bwana, mpaka atakapokuja.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki