Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:27, 28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kisha akachukua kikombe, akashukuru na kuwapa akisema: “Kunyweni ninyi nyote,+ 28 kwa maana hii inamaanisha ‘damu yangu+ ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ ili wasamehewe dhambi.+

  • Marko 14:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kisha akachukua kikombe, akashukuru na kuwapa, wote wakanywa kutoka kwenye kikombe hicho.+ 24 Akawaambia: “Hii inamaanisha ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi.+

  • 1 Wakorintho 11:23-25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana nilipokea kutoka kwa Bwana kile nilichowapa ninyi pia, kwamba Bwana Yesu katika usiku+ ambao alisalitiwa alichukua mkate, 24 na baada ya kutoa shukrani, akaumega na kusema: “Huu unamaanisha mwili wangu,+ ambao ni kwa ajili yenu. Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka.”+ 25 Akafanya vivyo hivyo na kile kikombe+ pia, baada ya wao kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano+ jipya kwa msingi wa damu yangu.+ Endeleeni kufanya hivi, kila mara mnapokinywa, kwa kunikumbuka mimi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki