16Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Huko kulikuwa na mwanafunzi aliyeitwa Timotheo,+ mama yake alikuwa Myahudi aliyekuwa mwamini, lakini baba yake alikuwa Mgiriki, 2 na alishuhudiwa vema na akina ndugu huko Listra na Ikoniamu.
19 Sasa ninatumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo+ kwenu upesi, ili nitiwe moyo nitakapopata habari kuwahusu ninyi. 20 Kwa maana sina mtu mwingine aliye na mwelekeo kama wake atakayejali kwa unyoofu mahangaiko yenu.