Waroma 15:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana wale walio Makedonia na Akaya wamependezwa kushiriki vitu vyao kwa kuwatolea mchango fulani walio maskini kati ya watakatifu huko Yerusalemu.+ 1 Wakorintho 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi kuhusu mchango kwa ajili ya watakatifu,+ fuateni mwongozo niliotoa kwa makutaniko ya Galatia. 2 Wakorintho 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa kuwa huduma ya utumishi huu wa watu wote si kuandaa vizuri tu mahitaji ya watakatifu+ bali pia kuwe na utajiri wa shukrani nyingi kwa Mungu.
26 Kwa maana wale walio Makedonia na Akaya wamependezwa kushiriki vitu vyao kwa kuwatolea mchango fulani walio maskini kati ya watakatifu huko Yerusalemu.+
16 Basi kuhusu mchango kwa ajili ya watakatifu,+ fuateni mwongozo niliotoa kwa makutaniko ya Galatia.
12 kwa kuwa huduma ya utumishi huu wa watu wote si kuandaa vizuri tu mahitaji ya watakatifu+ bali pia kuwe na utajiri wa shukrani nyingi kwa Mungu.