-
Waroma 15:26, 27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 Kwa maana wale walio Makedonia na Akaya wamependezwa kushiriki vitu vyao kwa kuwatolea mchango fulani walio maskini kati ya watakatifu huko Yerusalemu.+ 27 Kweli, wamependezwa kufanya hivyo, na kwa hakika walikuwa wadeni kwao; kwa maana ikiwa mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho, wao pia wana deni la kuwahudumia kwa vitu vyao vya kimwili.+
-
-
2 Wakorintho 8:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 bali kwamba kupitia usawazisho, ziada yenu kwa sasa ijazie uhitaji wao, ili ziada yao pia ijazie upungufu wenu, ili kuwe na usawazisho.
-