Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 15:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana wale walio Makedonia na Akaya wamependezwa kushiriki vitu vyao kwa kuwatolea mchango fulani walio maskini kati ya watakatifu huko Yerusalemu.+ 27 Kweli, wamependezwa kufanya hivyo, na kwa hakika walikuwa wadeni kwao; kwa maana ikiwa mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho, wao pia wana deni la kuwahudumia kwa vitu vyao vya kimwili.+

  • 2 Wakorintho 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 bali kwamba kupitia usawazisho, ziada yenu kwa sasa ijazie uhitaji wao, ili ziada yao pia ijazie upungufu wenu, ili kuwe na usawazisho.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki