Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 28:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yeyote anayewapa maskini hatakosa chochote,+

      Lakini yule anayewafumbia macho atapata laana nyingi.

  • Malaki 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Leteni ghalani sehemu yote ya* kumi,+ ili kuwe na chakula nyumbani mwangu;+ tafadhali, nijaribuni kwa njia hii,” asema Yehova wa majeshi, “mwone kama sitawafungulia malango ya mbinguni ya mafuriko+ na kuwamwagia baraka hivi kwamba hamtakosa chochote.”+

  • Wafilipi 4:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hata hivyo, nina kila kitu ninachohitaji, na hata zaidi. Nimejaziwa kila kitu, kwa kuwa sasa nimepokea kutoka kwa Epafrodito+ vitu mlivyotuma, harufu tamu,+ dhabihu yenye kukubalika, inayompendeza Mungu vema. 19 Naye Mungu wangu atawajazia kikamili uhitaji wenu+ kulingana na utajiri wake katika utukufu kupitia Kristo Yesu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki