16 Sasa ikiwa ninatangaza habari njema, hiyo si sababu ya kufanya nijisifu, kwa maana nimewekewa sharti. Kwa kweli, ole wangu nisipotangaza habari njema!+ 17 Nikifanya hivyo kwa kupenda, nina thawabu; lakini hata nikifanya hivyo bila kupenda, bado nimekabidhiwa usimamizi.+