-
Wakolosai 1:25-27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Nilikuja kuwa mhudumu wa kutaniko hili kupatana na usimamizi+ kutoka kwa Mungu niliopewa kwa ajili yenu ili kulihubiri neno la Mungu kwa ukamili, 26 siri takatifu+ iliyokuwa imefichwa tangu mifumo ya mambo iliyopita*+ na tangu vizazi vilivyopita. Lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu wake,+ 27 ambao Mungu amependezwa kuwajulisha kati ya mataifa utajiri wenye utukufu wa hii siri takatifu,+ ambayo ni Kristo katika muungano nanyi, tumaini la utukufu wake.+
-