Matendo 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Baada ya kusema mambo hayo, wakiwa wanatazama, akainuliwa juu na wingu likamfunika nao hawakumwona tena.+ 1 Timotheo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa kweli, siri takatifu ya huu ujitoaji-kimungu* ni kubwa: ‘Alifunuliwa katika mwili,+ alitangazwa kuwa mwadilifu katika roho,+ aliwatokea malaika,+ alihubiriwa kati ya mataifa,+ watu walimwamini ulimwenguni,+ akapokewa mbinguni kwa utukufu.’
9 Baada ya kusema mambo hayo, wakiwa wanatazama, akainuliwa juu na wingu likamfunika nao hawakumwona tena.+
16 Kwa kweli, siri takatifu ya huu ujitoaji-kimungu* ni kubwa: ‘Alifunuliwa katika mwili,+ alitangazwa kuwa mwadilifu katika roho,+ aliwatokea malaika,+ alihubiriwa kati ya mataifa,+ watu walimwamini ulimwenguni,+ akapokewa mbinguni kwa utukufu.’