Waefeso 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa sababu hii, mimi Paulo, mfungwa+ wa Kristo Yesu kwa ajili yenu, watu wa mataifa— Wafilipi 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 hivi kwamba vifungo vyangu vya gereza+ kwa ajili ya Kristo vimejulikana wazi+ kati ya Walinzi wote wa Mfalme na watu wengine wote. Wakolosai 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hii ni salamu yangu, Paulo, kwa mkono wangu mwenyewe.+ Endeleeni kukumbuka vifungo vyangu vya gereza.+ Fadhili zisizostahiliwa ziwe pamoja nanyi. 2 Timotheo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi usione aibu kuhusu ushahidi juu ya Bwana wetu,+ au kunihusu mimi, mfungwa kwa ajili yake, bali shiriki katika kuvumilia dhiki+ kwa ajili ya habari njema kwa kutegemea nguvu za Mungu.+ Filemoni 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ningependa akae nami hapa, ili achukue nafasi yako katika kunihudumia nikiwa nimefungwa kwa ajili ya habari njema.+
13 hivi kwamba vifungo vyangu vya gereza+ kwa ajili ya Kristo vimejulikana wazi+ kati ya Walinzi wote wa Mfalme na watu wengine wote.
18 Hii ni salamu yangu, Paulo, kwa mkono wangu mwenyewe.+ Endeleeni kukumbuka vifungo vyangu vya gereza.+ Fadhili zisizostahiliwa ziwe pamoja nanyi.
8 Basi usione aibu kuhusu ushahidi juu ya Bwana wetu,+ au kunihusu mimi, mfungwa kwa ajili yake, bali shiriki katika kuvumilia dhiki+ kwa ajili ya habari njema kwa kutegemea nguvu za Mungu.+
13 Ningependa akae nami hapa, ili achukue nafasi yako katika kunihudumia nikiwa nimefungwa kwa ajili ya habari njema.+