-
Waefeso 6:19, 20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Pia, msali kwa ajili yangu, kwamba ninapofungua kinywa changu nipewe maneno, ili niweze kuzungumza kwa ujasiri ninapojulisha siri takatifu ya habari njema,+ 20 ambayo kwa ajili yake ninatenda kama balozi+ aliyefungwa minyororo, na kwamba niweze kuzungumza kuihusu kwa ujasiri, kama ninavyopaswa kuzungumza.
-