1 Wathesalonike 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mungu wa amani na awatakase kikamili. Na bila kasoro yoyote, roho na nafsi* na mwili wenu akina ndugu, na vihifadhiwe bila lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+ 2 Wathesalonike 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndiyo maana tunajivunia ninyi+ kati ya makutaniko ya Mungu kwa sababu ya uvumilivu na imani yenu katika mateso yenu yote na taabu* mnayopata.*+
23 Mungu wa amani na awatakase kikamili. Na bila kasoro yoyote, roho na nafsi* na mwili wenu akina ndugu, na vihifadhiwe bila lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+
4 Ndiyo maana tunajivunia ninyi+ kati ya makutaniko ya Mungu kwa sababu ya uvumilivu na imani yenu katika mateso yenu yote na taabu* mnayopata.*+