14 Kwa maana, akina ndugu mliiga makutaniko ya Mungu yaliyo katika muungano na Kristo Yesu huko Yudea, kwa sababu mliteswa na wananchi wenzenu,+ kama vile wao pia wanavyoteswa na Wayahudi,
21 Kwa kweli, mliitwa kwenye mwendo huu, kwa sababu hata Kristo aliteseka kwa ajili yenu,+ akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu.+