Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wathesalonike 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ni nini tumaini letu au shangwe au taji la furaha mbele ya Bwana wetu Yesu wakati wa kuwapo kwake? Je, kwa kweli si ninyi?+

  • 1 Wathesalonike 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mungu wa amani na awatakase kikamili. Na bila kasoro yoyote, roho na nafsi* na mwili wenu akina ndugu, na vihifadhiwe bila lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+

  • 2 Wathesalonike 2:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hata hivyo, akina ndugu, kuhusu kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo+ na kukusanywa kwetu pamoja kwake,+ tunawaomba 2 msitikiswe upesi kutoka kwenye kufikiri kwenu wala msitishwe na maneno yaliyoongozwa na roho*+ au ujumbe uliosemwa au barua inayodhaniwa kutoka kwetu, kwamba siku ya Yehova*+ imefika.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki