Yohana 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Wakati mna nuru, iweni na imani* katika nuru ili muwe wana wa nuru.”+ Yesu alisema mambo hayo, kisha akaenda kujificha mbali nao. Waroma 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Usiku umesonga sana; mchana umekaribia. Kwa hiyo, na tuyaache matendo ya giza+ na tuvae silaha za nuru.+ Waefeso 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa kuwa wakati fulani mlikuwa giza, lakini sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana.+ Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru,
36 Wakati mna nuru, iweni na imani* katika nuru ili muwe wana wa nuru.”+ Yesu alisema mambo hayo, kisha akaenda kujificha mbali nao.
12 Usiku umesonga sana; mchana umekaribia. Kwa hiyo, na tuyaache matendo ya giza+ na tuvae silaha za nuru.+
8 kwa kuwa wakati fulani mlikuwa giza, lakini sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana.+ Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru,