22 Wakiwa huko wakawatia nguvu wanafunzi*+ na kuwatia moyo wabaki katika imani wakisema: “Ni lazima tuingie katika Ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+
17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi—warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi pamoja+ na Kristo—mradi tu tunateseka pamoja+ ili pia tutukuzwe pamoja.+