9 Msichukue dhahabu, fedha, wala shaba kwenye mishipi yenu ya pesa,+10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili,* wala viatu, wala fimbo,+ kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+
6 Au je, ni Barnaba+ na mimi pekee ambao hatuna haki ya kupata riziki bila kufanya kazi? 7 Ni mwanajeshi gani ambaye hutumika kwa gharama yake mwenyewe? Ni nani anayepanda shamba la mizabibu naye asile matunda yake?+ Au ni nani anayechunga mifugo naye asinywe maziwa ya mifugo yake?