20 Timotheo, linda yote uliyokabidhiwa,+ jiepushe na maneno matupu yanayochafua mambo matakatifu na pia uepuke mawazo yanayopingana ya “ujuzi” wa uwongo.+
14 Endelea kuwakumbusha mambo haya, ukiwaagiza* mbele za Mungu wasipigane kuhusu maneno, jambo hilo halina faida kabisa kwa sababu linawadhuru* wale wanaosikiliza.