Matendo 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini Bwana akamwambia: “Nenda! kwa sababu mtu huyu ni chombo nilichokichagua+ ili kupeleka jina langu kwa mataifa+ na pia kwa wafalme+ na wana wa Israeli. 1 Timotheo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa ajili ya ushahidi huo+ niliwekwa rasmi niwe mhubiri na mtume+—ninasema ukweli, sisemi uwongo—mwalimu wa mataifa+ kuhusu imani na kweli.
15 Lakini Bwana akamwambia: “Nenda! kwa sababu mtu huyu ni chombo nilichokichagua+ ili kupeleka jina langu kwa mataifa+ na pia kwa wafalme+ na wana wa Israeli.
7 Kwa ajili ya ushahidi huo+ niliwekwa rasmi niwe mhubiri na mtume+—ninasema ukweli, sisemi uwongo—mwalimu wa mataifa+ kuhusu imani na kweli.