7 Lakini kataa hadithi za uwongo zisizo na heshima,+ kama zile zinazosimuliwa na wanawake wazee. Badala yake, endelea kujizoeza ukiwa na lengo la ujitoaji-kimungu.*
20 Timotheo, linda yote uliyokabidhiwa,+ jiepushe na maneno matupu yanayochafua mambo matakatifu na pia uepuke mawazo yanayopingana ya “ujuzi” wa uwongo.+