Waroma 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Kristo ndiye mwisho wa Sheria,+ ili kila mtu aliye na imani* awe na uadilifu.+ Waebrania 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa kuwa ukuhani unabadilishwa, inakuwa muhimu kubadilisha Sheria pia.+