Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Msifikiri nilikuja kuharibu Sheria au Manabii. Sikuja kuharibu, bali kutimiza.+

  • Waroma 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini sasa tumewekwa huru kutoka katika Sheria,+ kwa sababu tumekufa kwa kile ambacho kilituzuia, ili tuwe watumwa katika maana mpya kwa roho,+ wala si katika maana ya zamani kwa sheria zilizoandikwa.+

  • Waefeso 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kupitia mwili wake aliufuta uadui, ile Sheria iliyokuwa na amri na maagizo, ili afanye vile vikundi viwili katika muungano na yeye mwenyewe viwe mtu mmoja mpya+ na kufanya amani,

  • Wakolosai 2:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Zaidi ya hilo, ingawa mlikuwa wafu katika makosa yenu na katika hali ya kutotahiriwa ya mwili wenu, Mungu aliwafanya muwe hai pamoja naye.+ Alitusamehe kwa fadhili makosa yetu yote+ 14 na kuifuta* hati iliyoandikwa kwa mkono+ ambayo ilikuwa na amri+ na iliyokuwa ikitupinga.+ Ameiondoa njiani kwa kuipigilia misumari kwenye mti wa mateso.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki