Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi, je, tuna sababu ya kujisifu? Hatuna sababu. Kupitia sheria gani? Ile ya matendo?+ Hapana, bali kupitia sheria ya imani.

  • 1 Wakorintho 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa wale wasio na sheria nilikuwa kama asiye na sheria, ingawa mimi siko bila sheria kwa Mungu bali niko chini ya sheria kwa Kristo,+ ili niwapate wale wasio na sheria.

  • Wagalatia 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Endeleeni kubebeana mizigo mizito,+ na hivyo mtaitimiza sheria ya Kristo.+

  • Wakolosai 2:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Zaidi ya hilo, ingawa mlikuwa wafu katika makosa yenu na katika hali ya kutotahiriwa ya mwili wenu, Mungu aliwafanya muwe hai pamoja naye.+ Alitusamehe kwa fadhili makosa yetu yote+ 14 na kuifuta* hati iliyoandikwa kwa mkono+ ambayo ilikuwa na amri+ na iliyokuwa ikitupinga.+ Ameiondoa njiani kwa kuipigilia misumari kwenye mti wa mateso.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki