-
Mwanzo 48:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Kisha akambariki Yosefu na kusema:+
“Mungu wa kweli ambaye baba zangu Isaka na Abrahamu walitembea mbele zake,+
Mungu wa kweli ambaye amekuwa akinichunga maisha yangu yote mpaka leo,+
16 Malaika ambaye amekuwa akiniponya katika misiba yote,+ awabariki wavulana hawa.+
Na waitwe kwa jina langu na jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka,
Acha waongezeke na kuwa umati mkubwa duniani.”+
-