Methali 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Anayeutumaini utajiri wake ataanguka,+Lakini waadilifu watasitawi kama majani.+ Luka 6:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Lakini ole wenu ninyi matajiri,+ kwa sababu mnapata faraja yenu kikamili.+ Luka 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa kweli, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano ya kushonea kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”+
25 Kwa kweli, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano ya kushonea kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”+