Mathayo 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Acheni kujiwekea hazina duniani,+ ambako nondo* na kutu hula na ambako wezi huvunja na kuiba. Luka 12:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Uzeni mali zenu na kutoa zawadi za rehema.*+ Tengenezeni mikoba ya pesa isiyochakaa, hazina isiyopungua huko mbinguni,+ ambako mwizi hawezi kufika wala nondo* hali.
33 Uzeni mali zenu na kutoa zawadi za rehema.*+ Tengenezeni mikoba ya pesa isiyochakaa, hazina isiyopungua huko mbinguni,+ ambako mwizi hawezi kufika wala nondo* hali.