Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 18:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Je, hukupaswa pia kumwonyesha rehema mtumwa mwenzako kama nilivyokuonyesha rehema?’+

  • Yohana 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hii ndiyo amri yangu, kwamba mpendane kama vile nilivyowapenda.+

  • Waroma 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Msiwe na deni lolote kwa mtu yeyote, isipokuwa kupendana,+ kwa maana yeyote anayempenda mwanadamu mwenzake ameitimiza sheria.+

  • 1 Yohana 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Sisi tumeujua upendo, kwa sababu huyo alitoa uhai wake* kwa ajili yetu,+ nasi tuna wajibu wa kutoa uhai wetu* kwa ajili ya ndugu zetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki