Mathayo 22:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Akamwambia: “‘Lazima umpende Yehova* Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote na kwa akili yako yote.’+ Mathayo 22:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Ya pili, kama hiyo, ni hii, ‘Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’+ Yohana 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda,+ nanyi mpendane vivyo hivyo.+ Yohana 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hii ndiyo amri yangu, kwamba mpendane kama vile nilivyowapenda.+
37 Akamwambia: “‘Lazima umpende Yehova* Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote na kwa akili yako yote.’+
34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda,+ nanyi mpendane vivyo hivyo.+