-
Ufunuo 12:10, 11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Nikasikia sauti kubwa mbinguni ikisema:
“Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu na Ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake, kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+ 11 Nao wakamshinda+ kwa sababu ya damu ya Mwanakondoo+ na kwa sababu ya neno lao la kutoa ushahidi,+ nao hawakupenda nafsi zao*+ hata walipokabili kifo.
-