Luka 24:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 na kwa msingi wa jina lake, toba kwa msamaha wa dhambi+ ingehubiriwa katika mataifa yote+—kuanzia Yerusalemu.+ Matendo 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Zaidi ya hayo, hakuna wokovu katika mwingine yeyote, kwa maana hakuna jina lingine+ chini ya mbingu walilopewa wanadamu ambalo kupitia hilo tunaweza kuokolewa.”+ Matendo 10:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Manabii wote walitoa ushahidi+ kumhusu, kwamba kila mtu anayemwamini hupokea msamaha wa dhambi kupitia jina lake.”+
47 na kwa msingi wa jina lake, toba kwa msamaha wa dhambi+ ingehubiriwa katika mataifa yote+—kuanzia Yerusalemu.+
12 Zaidi ya hayo, hakuna wokovu katika mwingine yeyote, kwa maana hakuna jina lingine+ chini ya mbingu walilopewa wanadamu ambalo kupitia hilo tunaweza kuokolewa.”+
43 Manabii wote walitoa ushahidi+ kumhusu, kwamba kila mtu anayemwamini hupokea msamaha wa dhambi kupitia jina lake.”+