3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo,+ Yosefu, Yuda, na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Basi wakaanza kukwazika kwa sababu yake.
9 nao walipotambua fadhili zisizostahiliwa nilizopewa,+ Yakobo+ na Kefa* na Yohana, ambao walionekana kuwa nguzo, walinipa mimi na Barnaba+ mkono wa kulia wa kushirikiana,* ili sisi twende kwa mataifa, nao waende kwa watu waliotahiriwa.