6Akina ndugu, hata mtu akichukua hatua isiyofaa kabla hajajua, ninyi mlio na sifa za kustahili kiroho jaribuni kumrekebisha upya mtu huyo kwa roho ya upole.+ Lakini kila mmoja wenu aendelee kujiangalia,+ kwa kuwa ninyi pia mnaweza kujaribiwa.+
19 Ndugu zangu, yeyote kati yenu akipotoshwa kutoka katika kweli na mwingine amrudishe, 20 jueni kwamba yeyote anayemrudisha mtenda dhambi kutoka kwenye kosa+ la njia yake atamwokoa* kutoka kwenye kifo naye atafunika dhambi nyingi.+