Methali 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jibu la upole* hutuliza hasira,+Lakini neno kali* huchochea hasira.+ Wakolosai 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu,*+ upole,+ na subira.+ 1 Timotheo 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ingawa hivyo, wewe, mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo. Badala yake, fuatilia uadilifu, ujitoaji-kimungu,* imani, upendo, uvumilivu, na upole.+ Tito 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 wasiseme vibaya kumhusu yeyote, wasiwe wagomvi, bali wawe na usawaziko,+ wakionyesha upole wote kwa watu wote.+
12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu,*+ upole,+ na subira.+
11 Ingawa hivyo, wewe, mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo. Badala yake, fuatilia uadilifu, ujitoaji-kimungu,* imani, upendo, uvumilivu, na upole.+
2 wasiseme vibaya kumhusu yeyote, wasiwe wagomvi, bali wawe na usawaziko,+ wakionyesha upole wote kwa watu wote.+