Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Jibu la upole* hutuliza hasira,+

      Lakini neno kali* huchochea hasira.+

  • Wakolosai 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu,*+ upole,+ na subira.+

  • 1 Timotheo 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ingawa hivyo, wewe, mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo. Badala yake, fuatilia uadilifu, ujitoaji-kimungu,* imani, upendo, uvumilivu, na upole.+

  • Tito 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 wasiseme vibaya kumhusu yeyote, wasiwe wagomvi, bali wawe na usawaziko,+ wakionyesha upole wote kwa watu wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki