22 Kwa upande mwingine, tunda la roho* ni upendo, shangwe, amani, subira,* fadhili, wema,+ imani, 23 upole, kujizuia.*+ Hakuna sheria dhidi ya mambo hayo.
15 Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana katika mioyo yenu, sikuzote mkiwa tayari kujitetea mbele ya kila mtu anayewauliza sababu ya tumaini mlilo nalo, lakini mkifanya hivyo kwa upole+ na heshima kubwa.+