Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Jibu la upole* hutuliza hasira,+

      Lakini neno kali* huchochea hasira.+

  • Mathayo 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Wenye furaha ni wale walio wapole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+

  • Wagalatia 5:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa upande mwingine, tunda la roho* ni upendo, shangwe, amani, subira,* fadhili, wema,+ imani, 23 upole, kujizuia.*+ Hakuna sheria dhidi ya mambo hayo.

  • Wakolosai 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu,*+ upole,+ na subira.+

  • 1 Petro 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana katika mioyo yenu, sikuzote mkiwa tayari kujitetea mbele ya kila mtu anayewauliza sababu ya tumaini mlilo nalo, lakini mkifanya hivyo kwa upole+ na heshima kubwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki