Zaburi 47:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mungu amekuwa Mfalme juu ya mataifa.+ Mungu huketi kwenye kiti chake kitakatifu cha ufalme. Isaya 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka ambao Mfalme Uzia alikufa,+ nilimwona Yehova akiwa ameketi kwenye kiti cha ufalme kilicho juu na kilichoinuliwa,+ na pindo za kanzu yake zilijaa hekaluni.
6 Katika mwaka ambao Mfalme Uzia alikufa,+ nilimwona Yehova akiwa ameketi kwenye kiti cha ufalme kilicho juu na kilichoinuliwa,+ na pindo za kanzu yake zilijaa hekaluni.