Sefania 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ile siku kuu ya Yehova iko karibu!+ Iko karibu, nayo inakuja haraka sana!*+ Sauti ya siku ya Yehova ni chungu.+ Siku hiyo shujaa atalia kwa sauti.+ Sefania 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Fedha yao wala dhahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya ghadhabu ya Yehova;+Kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yake,+Kwa sababu atawaangamiza kabisa wakaaji wote wa dunia, kwa kweli yatakuwa maangamizi yenye kutisha.”+ Waroma 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini kulingana na ukaidi wako na moyo wako usiotubu, unajiwekea akiba ya ghadhabu katika siku ya ghadhabu na ya kufunuliwa kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+
14 Ile siku kuu ya Yehova iko karibu!+ Iko karibu, nayo inakuja haraka sana!*+ Sauti ya siku ya Yehova ni chungu.+ Siku hiyo shujaa atalia kwa sauti.+
18 Fedha yao wala dhahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya ghadhabu ya Yehova;+Kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yake,+Kwa sababu atawaangamiza kabisa wakaaji wote wa dunia, kwa kweli yatakuwa maangamizi yenye kutisha.”+
5 Lakini kulingana na ukaidi wako na moyo wako usiotubu, unajiwekea akiba ya ghadhabu katika siku ya ghadhabu na ya kufunuliwa kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+