16 Asubuhi, siku ya tatu, kulikuwa na ngurumo na radi, na kulikuwa na wingu zito+ mlimani na sauti kubwa sana ya pembe, na watu wote kambini wakaanza kutetemeka.+
5 Kwenye kile kiti cha ufalme kulitokea radi+ na sauti na ngurumo;+ na kulikuwa na taa saba za moto zikiwaka mbele ya kile kiti cha ufalme, ambazo zinamaanisha zile roho saba za Mungu.+