16 Asubuhi, siku ya tatu, kulikuwa na ngurumo na radi, na kulikuwa na wingu zito+ mlimani na sauti kubwa sana ya pembe, na watu wote kambini wakaanza kutetemeka.+
5 Kwenye kile kiti cha ufalme kulitokea radi+ na sauti na ngurumo;+ na kulikuwa na taa saba za moto zikiwaka mbele ya kile kiti cha ufalme, ambazo zinamaanisha zile roho saba za Mungu.+
19 Na patakatifu pa hekalu la Mungu palipo mbinguni pakafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana katika patakatifu pa hekalu lake.+ Na kukatokea radi na sauti na ngurumo na tetemeko la ardhi na mvua kubwa ya mawe.