Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Alikandamizwa+ na alikubali kuteswa,+

      Lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake.

      Aliletwa kama kondoo machinjioni,+

      Kama kondoo jike aliye kimya mbele ya wanaomkata manyoya,

      Na hakuthubutu kufungua kinywa chake.+

  • Mathayo 27:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Yesu akapaza tena sauti kisha akafa.*+

  • Ufunuo 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikamwona mwanakondoo+ aliyeonekana kana kwamba amechinjwa,+ akiwa amesimama katikati ya kile kiti cha ufalme na katikati ya wale viumbe hai wanne na katikati ya wale wazee,+ akiwa na pembe saba na macho saba, na macho hayo yanamaanisha roho saba za Mungu+ ambazo zimetumwa katika dunia nzima.

  • Ufunuo 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 nao walikuwa wakisema kwa sauti kubwa: “Mwanakondoo aliyechinjwa+ anastahili kupokea uwezo na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki