Ufunuo 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi tubu. Usipofanya hivyo, ninakuja kwako upesi, nami nitapigana nao kwa ule upanga mrefu wa kinywa changu.+ Ufunuo 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nami nikaona, na tazama! farasi mweupe,+ na yule aliyeketi juu yake alikuwa na upinde; naye akapewa taji,+ naye akaenda akishinda na kukamilisha ushindi wake.+
16 Basi tubu. Usipofanya hivyo, ninakuja kwako upesi, nami nitapigana nao kwa ule upanga mrefu wa kinywa changu.+
2 Nami nikaona, na tazama! farasi mweupe,+ na yule aliyeketi juu yake alikuwa na upinde; naye akapewa taji,+ naye akaenda akishinda na kukamilisha ushindi wake.+