Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 45:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Na katika fahari yako endelea mpaka ushinde;*+

      Panda utetee kweli na unyenyekevu na uadilifu,+

      Na mkono wako wa kulia utatimiza* mambo yanayoogopesha.

  • Zaburi 110:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu:

      “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+

      Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+

       2 Yehova atainyoosha fimbo ya ufalme ya nguvu zako kutoka Sayuni, akisema:

      “Nenda ukitiisha kati ya maadui wako.”+

  • Ufunuo 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na vita vikatokea ghafla mbinguni: Mikaeli*+ na malaika zake wakapigana na yule joka, naye joka na malaika zake wakapigana nao

  • Ufunuo 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao watapigana na Mwanakondoo,+ lakini kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme,+ Mwanakondoo atawashinda.+ Pia, wale walio pamoja naye walioitwa na waliochaguliwa na walio waaminifu watawashinda.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki