Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni,+ jiji la Mungu aliye hai, yaani, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika

  • Ufunuo 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Yule atakayeshinda—nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, naye hataondoka humo kamwe, nami nitaandika juu yake jina la Mungu wangu+ na jina la jiji la Mungu wangu, Yerusalemu Jipya+ linaloshuka kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na jina langu jipya.+

  • Ufunuo 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Pia, nikaona lile jiji takatifu, Yerusalemu Jipya, likishuka kutoka mbinguni kwa Mungu+ likiwa limetayarishwa kama bibi harusi aliyepambwa kwa ajili ya mume wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki