Wimbo wa Safari za Kupanda.
134 Msifuni Yehova,
Enyi nyote watumishi wa Yehova,+
Ninyi mnaosimama katika nyumba ya Yehova nyakati za usiku.+
2 Inueni mikono yenu+ katika utakatifu
Na mumsifu Yehova.
3 Yehova, Muumba wa mbingu na dunia,
Na awabariki kutoka Sayuni.