Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 25
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Wanamuziki na waimbaji wa nyumba ya Mungu (1-31)

1 Mambo ya Nyakati 25:1

Marejeo

  • +1Nya 16:41, 42; 2Nya 5:11, 12; 35:15
  • +1Sa 10:5
  • +1Nya 15:16

1 Mambo ya Nyakati 25:3

Marejeo

  • +1Nya 16:41, 42
  • +1Nya 15:16, 18
  • +Efe 5:19

1 Mambo ya Nyakati 25:4

Marejeo

  • +1Nya 15:16, 19

1 Mambo ya Nyakati 25:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuinua pembe yake.”

1 Mambo ya Nyakati 25:6

Marejeo

  • +1Nya 13:8; 15:16; 16:5

1 Mambo ya Nyakati 25:8

Marejeo

  • +Met 16:33

1 Mambo ya Nyakati 25:9

Marejeo

  • +1Nya 25:1, 2
  • +1Nya 25:1, 3

1 Mambo ya Nyakati 25:10

Marejeo

  • +1Nya 25:1, 2

1 Mambo ya Nyakati 25:12

Marejeo

  • +1Nya 25:1, 2

1 Mambo ya Nyakati 25:20

Marejeo

  • +1Nya 25:1, 4

1 Mambo ya Nyakati 25:29

Marejeo

  • +1Nya 25:1, 4

1 Mambo ya Nyakati 25:30

Marejeo

  • +1Nya 25:1, 4

1 Mambo ya Nyakati 25:31

Marejeo

  • +1Nya 25:1, 4

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 25:11Nya 16:41, 42; 2Nya 5:11, 12; 35:15
1 Nya. 25:11Sa 10:5
1 Nya. 25:11Nya 15:16
1 Nya. 25:31Nya 16:41, 42
1 Nya. 25:31Nya 15:16, 18
1 Nya. 25:3Efe 5:19
1 Nya. 25:41Nya 15:16, 19
1 Nya. 25:61Nya 13:8; 15:16; 16:5
1 Nya. 25:8Met 16:33
1 Nya. 25:91Nya 25:1, 2
1 Nya. 25:91Nya 25:1, 3
1 Nya. 25:101Nya 25:1, 2
1 Nya. 25:121Nya 25:1, 2
1 Nya. 25:201Nya 25:1, 4
1 Nya. 25:291Nya 25:1, 4
1 Nya. 25:301Nya 25:1, 4
1 Nya. 25:311Nya 25:1, 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 25:1-31

Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

25 Isitoshe, Daudi na wakuu wa vikundi vya utumishi waliwatenga baadhi ya wana wa Asafu, Hemani, na Yeduthuni+ ili watoe unabii kwa kutumia vinubi, vinanda,+ na matoazi.+ Hii ndiyo orodha ya wanaume waliowekwa rasmi kwa ajili ya utumishi huo: 2 kutoka kwa wana wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Nethania, na Asharela, wana wa Asafu waliokuwa chini ya usimamizi wa Asafu, aliyetoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme. 3 Kutoka kwa Yeduthuni,+ wana wa Yeduthuni walikuwa: Gedalia, Zeri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia,+ wana sita, waliokuwa chini ya usimamizi wa Yeduthuni baba yao, aliyetoa unabii kwa kutumia kinubi, akimshukuru na kumsifu Yehova.+ 4 Kutoka kwa Hemani,+ wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, Yerimothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, Romamti-ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri, na Mahaziothi. 5 Hao wote walikuwa wana wa Hemani, mwonaji wa mfalme kuhusiana na mambo ya Mungu wa kweli ili kumtukuza;* basi Mungu wa kweli alimpa Hemani wana 14 na mabinti 3. 6 Hao wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao wakiwa waimbaji katika nyumba ya Yehova, wakitumia matoazi, vinanda, na vinubi+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli.

Asafu, Yeduthuni, na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.

7 Idadi yao pamoja na ndugu zao waliozoezwa kumwimbia Yehova, wote wakiwa stadi, ilikuwa 288. 8 Basi walipiga kura+ ili kupanga zamu zao, mdogo sawa na mkubwa, mwenye ustadi pamoja na mwanafunzi.

9 Kura ya kwanza ilimwangukia Asafu kwa ajili ya Yosefu,+ ya pili Gedalia+ (yeye na ndugu zake na wanawe walikuwa 12); 10 ya tatu Zakuri,+ wanawe na ndugu zake, 12; 11 ya nne Izri, wanawe na ndugu zake, 12; 12 ya tano Nethania,+ wanawe na ndugu zake, 12; 13 ya sita Bukia, wanawe na ndugu zake, 12; 14 ya saba Yesharela, wanawe na ndugu zake, 12; 15 ya nane Yeshaya, wanawe na ndugu zake, 12; 16 ya tisa Matania, wanawe na ndugu zake, 12; 17 ya kumi Shimei, wanawe na ndugu zake, 12; 18 ya 11 Azareli, wanawe na ndugu zake, 12; 19 ya 12 Hashabia, wanawe na ndugu zake, 12; 20 ya 13 Shubaeli,+ wanawe na ndugu zake, 12; 21 ya 14 Matithia, wanawe na ndugu zake, 12; 22 ya 15 Yeremothi, wanawe na ndugu zake, 12; 23 ya 16 Hanania, wanawe na ndugu zake, 12; 24 ya 17 Yoshbekasha, wanawe na ndugu zake, 12; 25 ya 18 Hanani, wanawe na ndugu zake, 12; 26 ya 19 Malothi, wanawe na ndugu zake, 12; 27 ya 20 Eliatha, wanawe na ndugu zake, 12; 28 ya 21 Hothiri, wanawe na ndugu zake, 12; 29 ya 22 Gidalti,+ wanawe na ndugu zake, 12; 30 ya 23 Mahaziothi,+ wanawe na ndugu zake, 12; 31 ya 24 Romamti-ezeri,+ wanawe na ndugu zake, 12.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki